Rudi utupe mavituzii, nilikua nawaza dogo kapotekea wap? Nn kmekumva?njooo wanyooshe,njoo utufurahishe dogo letu zuriii,nakukubal since "naenda kusema kwa mama "one β€οΈASLAYπͺπͺπͺ
Tunasubiri Album, βοΈβοΈ
Ma sha Allah mungu ayendeleye kuwarinda mm kutoka rwanda π·πΌ
Aposasa baba twakusubilia kwahama baba fulaha kwawatu wote wanaokupenda π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯βοΈπΉπΉπΉπΊπΊπΊ
Woow!!π Nilitamani sana siku nyingi uwe sehem sahihi kama hii.ππ Pamoja sana mdogo wangu, wewe ndo kingπ
Nakupenda Aslay!!.......Love yr Songs....Baby: unanitukana ukilewa.....
Kaka kalibu sana mm kama shabiki yako ninaye kupenda Sana nimekukumbuka sana najivunia kusikia unaludi tena kwenye gemu nakupenda Sana tena sana
Aslay allah akusimamie kwa kazi zako kwakweli nipokua nasikiliza muziki wako uwa nafarijika sana kwakweli ila allah akuongoze kwenyenjia sahihi na muziki wako usonge mbele mungu akufikishe kwenye malengo yako na allah akufanyie wepesi kwakila jambo lako na
Pamoja sana aslay nakubali kazizako ni nomasana
From 254, Fanya mambo Sasa dogo
Yaaani mimi aslay umeisha ni uwa tayari toka DRC mjini goma mimi ni fansβ€
Aslay tunapenda nyimbo zako pia nawe sauti yako fity
Fanya kweli mwana muziki π«‘π«‘π«‘
Sijali kuusu kazi zako na kuamini mpaka nalowana nipo tepetepe yani nainyoiπππππ
My brother Aslay Ongera sana brother nimependa kazi yako na hatua uliyo fiki Mungu azidi kukujalia kwa kazi zako
Kubwaaaaaa
Wee Big Nakucheck... kwa sasa management iko imara kapisa tuko ndani%%ndaniβ€
uko juu bro tuko pamoja team aslay
Jst smiles on my faceπ₯°π₯° More blessings our own
@luobae