@arakasteve

You are freaking practical. Hakuna kurembesha picha..unaipiga vile iko tukisonga...hako kagolf πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

@linusastarco8969

Good work, keep up,my prayers answered now 100%

@petermakau6436

Kalia balcony ikueke town....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ....Kali Sana mkuuu

@AmosNdungumprezz

Mali safi. Wale wa kulipa pole pole walete kwangu bro I have connections on asset financing

@ZacYahya-c6n

Nimekwama apo pa "nikae  balcony  inifikishe tao"πŸ˜‚πŸ˜‚

@karim_yaqub

Mazda Axela iko sawa bro

@marymungai4429

Thank you for sharing

@goodlifepharmacy6467

one day Nita drive  good job

@donaldokoth8124

Kazi Safi bro Mko wapi

@batromeombogo297

Nipo Tanzania nimeipenda hiyo center ya mizigo- 1.5ksh ni sawa na Tsh,31 milion bado ipo?????

@elijahkaliko5477

Hio nissan xtrail bro iko so much afforadable and the price is even negitiable thats nuts 2million 😒still we can negotiate πŸ€”πŸ€”

@emmanuelmandila4422

Hii mwaka mpaka nibuy gari

@MrVayolence

Hizo Suzuki Jimny bwana mbona hamzisemi

@chiddimusiq1881

800k imeninice ya kuchapa kazi

@EuniceMuthoni-ln9ld

Hiyo ya white iko nyuma yako ukimalizia Ni gani Nani how much I'm interested

@DJPHYL

Mnakubali malipo pole pole...hio KAQ ama subaru?

@alexkesier4779

kcl,233l hio caravan ni how much or hio canter?

@susannyambura6065

Why do you not pick calls?

@nellymuthoki8743

Sikujui but wewe ni mtaniπŸ˜‚πŸ˜‚si ueke number hapaπŸ˜‚πŸ˜‚

@alextercisio

Hiyo honda crv ni kali boss iko fire πŸ”₯