@FidoAmos

Ila ww kijana una juwa sana

@khadjamhozya

Kuna ile nyimbo ya aslay anaimba anamtukana mdada kuwa ni mchafu hajuwi kufuwa vichupi vyake naomba mniambie inaitwaje tafadhali๐Ÿ™๐Ÿ™

@aseliboaz

Aslay anikumbusha ule wakati wa HAUTEGEKI, MHUDUMU, BABY BASI.... alitoa nyimbo nyingi wakati mmoja na zikakuwa hits zotr

@Abudhary-pl2kv

yan hizi nyimbo zote nmezidownload af nikae.chini nikeke dundo.niskilize.make sina wasiwasi na aslay hajawah ni dissapoint tokea kitambo .. aslay noma sana unajua hadi unajua tena

@dmerody7092

Bless hapa ndotunapo kupenda kaka jiwe juunya jiwe kama una mkubari fundi Aslay acha like na coment ๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰

@allyally2908

Tulimiss hii vitu maana skuiz kila nyimbo wasanii wa bongo ni amapiano

@DaniBoeeTz

Mmmh ila Aslay unajua Hadi unakela asee  like ziwe nyingi jamani

@lemmyajabu8171

Nmechelewa kidogo ila nimefika๐Ÿ˜Š...naombeni likes zangu tukiendelea kuskia mziki mzuri
Kenya๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ชadi bongo๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟโคโค

@Obzoo

nipeni like ndugu zangu ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

@ojb-star

Kakangu kazi safi sana congrat

@hk.musicstar

Hii ndio nyimbo pendwa kwangu kama na kwako ime kubamba like nyingi

@brownhenry1916

Hii ngoma inakuaje haiko trend?

@asiy2283

Sauti yako nzuri sana Aslay nakupenda sana nyimbo zako zina nikumbusha Tz.

@bizondailagije-kb2kp

Dingi mtoto umeua baba

@azorychristopher2938

Kaka unajua halafu unajua tena

@jamalmakame3139

Hatareeeeeeeeeeeeee na nuxu๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰

@babjithephotographer5602

Nashukuru sana huyu kaka karudi kwenye usanii wake

@WilsonWambani-k9f

asente sana aslay umerudi am happy as your greatest fan everโ™ฅโ™ฅโ™ฅโ™ฅ

@husseinmuganza8355

Aslay umenishusha roho niliweka roho juu juu kwa sasa nyimbo zako naenjoy mimi shabiki wako tokea drcongo twakupenda ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ