@mwanawote

Nipo Hapa Kusupport Anjella  Na Sio Kumskiza Harmonize So Asikudanganye Mtu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™Œ

@ezib0y

Asanteni Sana fans wangu kwakuzidi kuonesha love kwa bidada #anjela πŸ™

@Samuelgsm-g1

Wenye  wanangali wanapenda iyi nyimbo 2024 waniwekeye liks

@simonkakinda2524

SISI TUNAANGALIA NGOMA HII 2025 YA πŸ”₯πŸ”₯ SANAH CONGOLE TO ANJELLA

@lewapeter9713

Dope harmonize na Angela mmeweza aki..anayekubali ii ngoma agonge like apa

@jcome11

SANA SISTER AKE kama japo tumechelewa

@jajasaid8770

Yani harmoniez kumpata tu.Anjela amefaulu kbs.nipe liki kama nasema kweli

@MrNoNonsenseYes

Huyu mdada anajua kuimba kwa Tanzania anaeweza kushindanishwa nae ni Maua Sama tu, sema ndo hivyo wasafi brand yao imeshakua kubwa kitambo. 
Ila naamini Konde Gang tunakuja na speed ya 180km/hour... mzee wetu tembo kama utajaaliwa kuiona hii comment jua tuko pamoja na wewe na unafanya kazi sahihi kabisa...kaza Jeshi haina kulemba. 
Konde Music Worldwide.
Konde Music for errrrrybody

One love from Mobasa 001

@jizzomonster

Mm ndo wa kwanza like hapa twende sawaaa

@sarasancho9529

Iii ngoma kali nime ikubali  Kam wew upo Kama mem gonga like apo

@iqramawadh80

Good job anjella ft Tembo wangapi wameelewa hii ngoma naomba like kuthibitisha hilo

@noblechild5652

MashAllah,, hii ngoma ikoπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯ Wapi likes za Wakenya πŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺ

@matrixmedia989

Sitohama kondegang4everybody
KenyaπŸ‡°πŸ‡ͺπŸ‡°πŸ‡ͺ fans msipite bila ya likes

@winfredmwendwa2138

Wow nampenda sana.konde gang nipewe.like za wakenya

@kimzymamy6594

jamani naombeni ata like moja kwa mdogo wetu anjela na boss konde😍πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ™Œ

@adenabubakar2142

Uko chonjo konde gang  Ni venye uko na haters but they make you famous πŸ’ͺπŸ’ͺ

@husnanyamvula2372

Sijaelewa niko hapa qeeen angella πŸ’₯πŸ’₯

@eddie.g4384

Wapi likes za  AnjellaπŸ‘ kazi nzuri sana πŸ’₯

@manjistationary5288

Ahsante Anjella wa Harmonize nani anakubali hii kitu gonga like bac na me kidogo

@impactelectricals

Yaani beat ni Kali..... Anjella akinyamaza tu....ndio beat inaingia.....nipe likes za hiyo beat