Dope harmonize na Angela mmeweza aki..anayekubali ii ngoma agonge like apa
Yani harmoniez kumpata tu.Anjela amefaulu kbs.nipe liki kama nasema kweli
Anifikishe kwa mpogo utamu mpaka kwa kisogo,konde gang hatari sana
Sijaelewa niko hapa qeeen angella π₯π₯
Nipo Hapa Kusupport Anjella Na Sio Kumskiza Harmonize So Asikudanganye Mtu πππππ
Good job anjella ft Tembo wangapi wameelewa hii ngoma naomba like kuthibitisha hilo
Konde gang ni π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
SANA SISTER AKE kama japo tumechelewa
ANJELLA πππππΉπΏ X BIG ELEPHANT πΉπΏπΉπΏ
Yaani beat ni Kali..... Anjella akinyamaza tu....ndio beat inaingia.....nipe likes za hiyo beat
Condom akikuta mfukoni asiulize za kazi gani , Simu nikapoke chooni asiulize baby ni nani , Eti mbona umeganda online unachat na nani , Ah...Hata za mwizi arobaini akinifuma aone tu utani π€©I really love this part. Much Love from Comorosβ€π―
Wolololoπ₯π₯π₯π₯video kali ,queen umekillπ°πͺπ°πͺπ°πͺπ₯π₯π₯Harmonize hakuna wakumzimaπππππ―iii ndio real movieπ¬π¬π¬π¬ π₯π₯π₯π₯hakuna kuskip advert,konde to the worldπ―ππππππππ―π―π°πͺπ°πͺπ°πͺπΉπΏπΉπΏπΉπΏ
MashAllah,, hii ngoma ikoπ₯π₯π₯ Wapi likes za Wakenya π°πͺπ°πͺπ°πͺ
Wapi likes za Anjellaπ kazi nzuri sana π₯
Anjela kazi nzuri,ukimpata mtu anaetambua kipaki chako muheshimu na heshimu kazi yako....utafika mbali pambana mamii,epuka skendo chapa kazi....umetisha dada japo nimechelewa ila haijslishi....Gonga like kama umeona anjela ni shiiiiiiida
Ningependa ni like twice but no way the song is on π₯π₯π₯
Ahsante Anjella wa Harmonize nani anakubali hii kitu gonga like bac na me kidogo
Jeshiiπππππ°πͺπ°πͺπ°πͺtwa kupenda bure konde
Nau kubali sana konde gang
@Samuelgsm-g1